-
Fahamu mafundisho yaliojili katika Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu.
- 2024/09/18
- 再生時間: 55 分
- ポッドキャスト
-
サマリー
activate_samplebutton_t1
あらすじ・解説
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo nipo na Padre Benno Kikudo Mkurugenzi wa Walei kutoka Balaza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, akifundisha sehemu ya mafundisho ya Kongamano la 5 la Ekaristi Takatifu lililofanyika Jimbo kuu la Dar es salaam ?”
L'articolo Fahamu mafundisho yaliojili katika Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.