-
サマリー
activate_samplebutton_t1
あらすじ・解説
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Alto Albert Mlelwa, kutoka Parokia ya Mtume Paulo Kilangamoto Jimbo Katoliki Njombe, akijibu swali la Msikilizaji linalo hoji, Je, Mkristo yeyote anaweza kuwa Katekista pasipo kuwa na Elimu ya Ukatekista?
L'articolo Fahamu sifa ya kuwa Katekista. proviene da Radio Maria.