-
Upinzani watishia maandamano iwapo wanachama wao hawata achiwa huru Tanzania
- 2024/09/13
- 再生時間: 8 分
- ポッドキャスト
-
サマリー
activate_samplebutton_t1
あらすじ・解説
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimetishia kuanzisha maandamano makubwa zaidi, tangazo linalokuja baada ya kutuhumu mamlaka kwenye taifa la Afrika Mashariki kwa kuwauua na kuwateka wanachama wake.